![Zanzibar Kamili TV](/img/default-banner.jpg)
- 2 317
- 17 100 237
Zanzibar Kamili TV
Germany
Приєднався 7 гру 2020
Karibu sana tukufahamishe kuhusu masuala yote yanayoendelea Zanzibar, Tanzania na kwengineko duniani.
Hotuba ya Makamo wa Kwanza leo katika hafla ya kumuaga Dkt. Omar Shajak
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, Leo Jumamosi Juni 29, 2024, ameshiriki akiwa Mgeni Rasmi katika Hafla ya Kumuaga Katibu Mkuu Mstaafu wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Dokta Omar Dadi Shajak, hapo Hoteli ya Golden Tulip, Uwanja wa Ndege Zanzibar.
Akitoa salamu zake kwa Wafanyakazi na Viongozi mbali mbali waliohudhuria hapo, Mheshimiwa Othman amesema, "Nchi haiendeshwi kwa Nani Wangu", bali kwa kuzingatia utaratibu wa kuwapata watumishi wenye kipaji, uwezo, na kujali misingi ya uadilifu katika kusimamia maendeleo na maslahi ya umma.
Mheshimiwa Othman amesema ili Zanzibar iweze kusogea kutoka pale ilipo sasa, na kuyafikia maendeleo ya kweli, ni wajibu kuzingatia misingi ya sera, uadilifu, moyo wa utumishi, na kuachana na tabia ya 'petty mindedness", ambayo inawapelekea Viongezi Wakubwa wenye Mamlaka, kujihusisha na mambo dhaifu ya ovyo, yanayodhoofisha kasi ya maendeleo.
Naye, Mlengwa Mkuu wa Hafla hiyo, Dokta Shajak, akitoa Neno la Shukrani, ameshukuru heshima kubwa aliyopewa, Yeye na Familia yake, kupitia Mkusanyiko huo, uliobeba dhamira ya kumuaga baada ya Utumishi wake wa Umma, wa takriban Miaka 33 katika Wizara na Taasisi mbali mbali za Serikali.
Viongozi wa Serikali, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi, Makamishna, Watendaji Wastaafu, Maafisa Wadhamini, Viongozi wa Mamlaka, Taasisi mbali mbali za Umma na Sekta Binafsi, kutoka ndani na Nje ya Zanzibar, wamehudhuria katika Hafla hiyo, wakiwemo Mawaziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza, na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Harusi Said Suleiman, na Mhe. Hamza Hassan Juma; Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi , Mhe. Mhandisi Zena Ahmed Said, pamoja na Familia ya Dokta Shajak.
Hafla hiyo imejumuisha pia harakati mbali mbali za Burudani, An'ashid, Onyesho fupi la Kumbukumbu, na Uzinduzi wa Kitabu cha Historia Fupi ya Dokta Shajak; pamoja na kukabidhiwa Zawadi kwa Mstaafu huyo, Yeye na Familia yake, zikiwemo Fanicha, Bustani za Miti ya Matunda, Mashine za Mazoezi, na Gharama kwaajili ya Kwenda Kutekeleza Ibada ya Umra, huko Makka Saudi Arabia.
Viongozi na Watu mbali mbali wamechangia kufanikisha Zawadi pamoja na Hafla hiyo wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dokta Samia Suluhu Hassan; na Uongozi wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Muungano na Mazingira.
Kitengo cha Habari
Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Juni 29, 2024.
Akitoa salamu zake kwa Wafanyakazi na Viongozi mbali mbali waliohudhuria hapo, Mheshimiwa Othman amesema, "Nchi haiendeshwi kwa Nani Wangu", bali kwa kuzingatia utaratibu wa kuwapata watumishi wenye kipaji, uwezo, na kujali misingi ya uadilifu katika kusimamia maendeleo na maslahi ya umma.
Mheshimiwa Othman amesema ili Zanzibar iweze kusogea kutoka pale ilipo sasa, na kuyafikia maendeleo ya kweli, ni wajibu kuzingatia misingi ya sera, uadilifu, moyo wa utumishi, na kuachana na tabia ya 'petty mindedness", ambayo inawapelekea Viongezi Wakubwa wenye Mamlaka, kujihusisha na mambo dhaifu ya ovyo, yanayodhoofisha kasi ya maendeleo.
Naye, Mlengwa Mkuu wa Hafla hiyo, Dokta Shajak, akitoa Neno la Shukrani, ameshukuru heshima kubwa aliyopewa, Yeye na Familia yake, kupitia Mkusanyiko huo, uliobeba dhamira ya kumuaga baada ya Utumishi wake wa Umma, wa takriban Miaka 33 katika Wizara na Taasisi mbali mbali za Serikali.
Viongozi wa Serikali, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi, Makamishna, Watendaji Wastaafu, Maafisa Wadhamini, Viongozi wa Mamlaka, Taasisi mbali mbali za Umma na Sekta Binafsi, kutoka ndani na Nje ya Zanzibar, wamehudhuria katika Hafla hiyo, wakiwemo Mawaziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza, na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Harusi Said Suleiman, na Mhe. Hamza Hassan Juma; Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi , Mhe. Mhandisi Zena Ahmed Said, pamoja na Familia ya Dokta Shajak.
Hafla hiyo imejumuisha pia harakati mbali mbali za Burudani, An'ashid, Onyesho fupi la Kumbukumbu, na Uzinduzi wa Kitabu cha Historia Fupi ya Dokta Shajak; pamoja na kukabidhiwa Zawadi kwa Mstaafu huyo, Yeye na Familia yake, zikiwemo Fanicha, Bustani za Miti ya Matunda, Mashine za Mazoezi, na Gharama kwaajili ya Kwenda Kutekeleza Ibada ya Umra, huko Makka Saudi Arabia.
Viongozi na Watu mbali mbali wamechangia kufanikisha Zawadi pamoja na Hafla hiyo wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dokta Samia Suluhu Hassan; na Uongozi wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Muungano na Mazingira.
Kitengo cha Habari
Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Juni 29, 2024.
Переглядів: 1 722
Відео
OMO alivyofunguka kuhusu yanayoendelea na hatma ya Zanzibar
Переглядів 1,7 тис.6 днів тому
Jussa atema cheche, aanika jinsi Zanzibar inavyotafunwa na serikali ya Mwinyi
Переглядів 1,6 тис.7 днів тому
Makamu mwenyekiti wa ACT Zanzibar Mhe. Ismail Jussa akizungumza na wananchi.
Mansour amwambia Mwinyi na CCM yake wasahau ndoto za kujiongezea miaka bila uchaguzi
Переглядів 3,8 тис.7 днів тому
Mansour Yussuf Himid akihutubia wananchi Unguja
Fursa za kiuchumi tunazo lakini watu wetu hawaidiki nazo, tunahitaji mageuzi-OMO
Переглядів 50010 днів тому
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Alhaj Othman Masoud Othman, leo Ijumaa Juni 21, 2024 amejumuika na Waumini wa Kiislamu, katika Ibada ya Sala ya Ijumaa, hapo Msikiti wa Ijumaa Kigunda, uliopo Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja. Baada ya Sala hiyo, Mheshimiwa Alhaj Othman ametoa salamu zake mbele ya Waumini akisema, ni busara kuendelea kushikamana na Mafunzo Mema ya Dini, yakiwemo m...
Makamo wa Kwanza afunguka kwenye mahojino, aeleza kiu yake ya kuiona Zanzibar huru yenye maendeleo
Переглядів 3,2 тис.10 днів тому
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Taifa Mhe. Othman Masoud akizungumza na Gumzo la Ghassani visiwani Zanzibar.
Mansour afunguka katika kipindi cha Sauti ya Wazalendo
Переглядів 1,1 тис.15 днів тому
Mahujaji wa Zanzibar wawasili Makkah
Переглядів 43319 днів тому
TAMKO LA ACT LEO KUHUSU TUME YA UCHAGUZI, WASEMA HAWATOKUBALI UJAMBAZI WA DEMOKRASIA
Переглядів 2,9 тис.20 днів тому
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama hicho.
Jussa alivyofunguka mkutano wa ACT jimbo la Shaurimoyo
Переглядів 70422 дні тому
Hotuba ya Makamo mwenyekiti wa ACT Zanzibar Mhe. Ismail Jussa katika uwanja wa Kivumbi, jimbo la Shaurimoyo kisiwani Unguja.
Hotuba ya Mansoor mkutano Shaurimoyo, asema CCM haikushinda wakati ina watu sembuse sasa na Mwinyi
Переглядів 3,5 тис.22 дні тому
Mansour Yussuf Himid
Mwinyi Juma awachana wakuu wa mikoa Pemba, asema wanatumia vikosi kuharibu chaguzi
Переглядів 1,9 тис.23 дні тому
SERIKALI YAENDELEA KUWANYIMA WANANCHI ZAN ID, WAMLALAMIKIA MAKAMO WA KWANZA
Переглядів 1,6 тис.23 дні тому
Makamo wa Kwanza wa Rais na Mwenyekiti wa ACT Taifa akizungumza na wananchi Pemba.
Wananchi Pemba wafunguka mbele ya Makamo wa Kwanza, wachoshwa na tabu wanazopata
Переглядів 2,2 тис.25 днів тому
Hatuwezi kuijenga Pemba Sawa na Unguja, hao Wapemba wenyewe wengi wapo Unguja
Переглядів 1,4 тис.27 днів тому
Mwakilishi Nadir akizungumzia ujenzi wa maendeleo kisiwani Pemba.
Ccm wao uhuru wznzbar co lazima wao wnatuaminisha barabara namasoko ndio kila kitu 😅😅😅😅kuliko znzbr yenye uhuru wake
Nandio maana htuendi mbele njaa kila kona kwasababu yawtu wnaouliwa bila sababu kiukweli
Asalam alykm ,Mh MakamoAhsate ,kuujulisha Umma ,si kwa huu UMMA, wa zanzibar, tuu nakwengine, pence mapungufu, kama hapakwetu,huyu wants,au huyu wetu ,kama taaswira hiyo nimuhimu katika maendeleyo,ya inchi yoyote,basically wzanzari wasingeiliajiriwa, huko ughaibuni, na hukowamepatikana, wa akina shajak wengi tu ,namiakahii na wao wamestaafu nawanaendeleakumali ,za kazi zao kwa unmindful mkubwa,huko nje ,hunger, Bw shajak kwauvumilivu nauaminifu ,uliotukuka,na Mh wetu nawe tunakuomba usichoke ,jitahidi kutuwaidh. Shukran. SRSK. Al sahaf.
Cc hatutaki barabara tunatak mamlak kamili hatutaki raisi wa sanamu ccm iondoke tu izo propaganda zenu tushazizoea madarakani mumeingia kw dhulma mnapig watu mnauwa halaf mnajifany hamuoni mud w kuwadanganya watu umeisha
Ww msenge kweli hufai kuwa kiongozi
Makamo umeuwa😂😂😂❤❤
Fact ❤❤❤
Hongera d shajak kwa kukamilisha uongoz wako uliotukuka❤ tutakutaduta nje ya ofis kwa ushaur ❤
Warioba shida yako ulikuwa mlevi sana ww tunakujuwa hatutaki mungano wa namna hii usitufananishe na marekani mambo ya marekani hamuyawezi nyinyi bara ni sio wat wazuri mna zarau sana wala hamna mpango ni wezi tu
hatutaki muungano!
Kuwe na mabaraza ya wawakilishi mawili Pemba na Unguja jamani mwenye macho angalie kweli Pemba hakuja tupwa
Tenna walikua sio wasomi km tukivyo na watu wanaojiita wao wasomi saiv. Saiv watu wanajisifu na makaratasi wao 2 milioni people hawawezi kuongoza shame ndani ya miaka 60. 2 milioni people hamna ata maji. Pesa zote matumboni na kuzulumu viwanja vya wananchi
Tena tukirudi huko awamu zilizopita kuna wengine walikua Mawaziri Ndio waliwapora Wazanzibar wanyonge viwanja vyao vya beach na kujenga Ma Hotels na Majumba ya Mji mkongwe, sema Dhulma haidumu ata kama Kiongozi akimaliza muda au akiama Chama
Omo kaka mm nakuelewa mno kuliko mtu yyte yle
Mimi nanukuu tu maneno ikiwa kudai huku ndo kuvunja muungano 😂😂nauvunjike😅😅
Viongozi wa Zanzibar wajifunze kupitia Kenya na Raisi wao Ruto
Allah afanye wepesi tumechoka Kwa kweli
Kazi ipo maneno tu sifa ya CCM hawaogopi hata MwenyeziMungu
Ndio mana hawatoi nchi mana Mnaongea kuwalipisha hela
Mungu awape matumaini yao kwa amani NA usalama NA ujirani mwema NA undugu NA wa tanganika zanzibari ni dola la kiislaam na tabia tafauti NA muongano sio kwa nguvu zanzibari etaendelea vizuri sana kwa manufaa ya tanganika
Kwani hawa wa zanzibaari wanataka nini
Wazanzibar wanataka Amani na Nchi yao wajitawale wenyewao, Waijenge Nchi yao kwa Mapenzi yao wenyewe na Tamaduni zao na Wamechoka kutawaliwa na Ukoloni wa Kihuni na Kijambazi!!!
Wanataka upacha wao na omani urejee kama Zamani kabla ya ukoloni na wakoloni.
Wanataka mamlaka kamili
Hujuw wanasho taka kumbe
Ww unaeuliza wznzbar wnataka nini kwni ww unataka nini manaake wznzbar wpo kwao au wmekuja kuongea chumbani kwamamaako wnamfanyia zogo mamaako chumbani kwake bc tunashida namamaako vp yupo au
So sad
IN SHA ALLAH ❤❤❤
Usiseme mapinduzi unatuuumiza kuna watu wameondokewa na jamaa zao kupitia mapinduzi na baado wanavidonda vya moyo vya hudhuni
Sawa sawa
Anyere mgundaa,tatii oh, maana yake,nani kanyea shamba, baba oooh
Mashaaalah she is hero power speech,ata Farao Firaun ilikua hivhiv lkn Aliangamia,pole mami
Huyu hasa sijui yupoje! Hapo ukiangalia ndio sawa unaipa mdomo serikali ya Muungano kusema bara ipate asilimia kubwa kuliko Zanzibar kwa sababu ya population. Ndio mfano anaoleta huyu jamaa.
Wapemba hatuwezi kutuliya kwakujengewa barabara na majumba wakati.mamlaka kamili hatuna.
Na ilo la Diaspora ndilo wanalolikataa Zaidi hao Mabepari wa Mlengo wa Pili muonekano wao na maoni yao ni kuwakataa kutokana na Maslahi yawe Upande wao tu!
Uongozi ni Moyo wa Mtu sio Jiwe inategemea na Malengo na Ufanyaji Kazi wa Uongozi!!! Kiongozi kwanza ni Kujali alipochaguliwa na kufanya Wajib wake! Kwa iyo Othman M Othman ana Sifa zote zakua Kiongozi sahihi wa Nchi yake na Wake Zaidi kutokana na Historia yake na Uchungu wake wa Nchi na Watu wake! Kiongozi ni Othman M Othman 💯👍❤ absolute his a Perfect Leader in Zanzibar!!!
Absolutely.....
Wewe nimsomi mkubwa mungano bybyyyyyyyyyyy
Ipo siku tutapata taifa letu huru Zanzibar
Daraja bovu,kinuni,chumbuni,kwarara, mtopepo,kianga,mfenesini, mpemba mtupu rudini kwenu mnakajenge kwenu Muendeleze kwenu ndipo serekali italeta maendeleo hayo mnayoyataka .
Hivi wewe unayesema wapemba warudi kwao hivi huogopi,huoni kuwa wapemba achiliya mbali unguja.awoo wabongo hawawezi kuwaondowa wapemba.wanajuwa Faida ya wapemba seuze wewe mwenye asili yabara
@@abdallahmohd3777 Kaka achana nae huyo si unajua mwanaharamu ata ukimtia kwenye chupa hutokeza kidole
Achana nao hao.
Ghasan shukran sana kaka yangu,sisi wazanzibar tunafahqmu.tunaelewa.kikubwa kinachotusibu.hatujapa viongozi wenye kuipenda kwadhati nnchi yetu nakupenda watu wake.lakini tunaamini,maneno ya kiongozi wetu.Othman mungu amuweke.inshallah tutafika
Aamiin Yaarab 🤲
Uongozi ni amana kutoka mungu NA utakuja kuulizwa kwa amana hiyo usifurahi kwa kiongozi kuna janah alfrdaus kuliko hiyo dunia ya miyaka sabini tu NA kusihi kwa mwaminifu kwa mali ya serekali NA kuwa mwadilifu NA uliza maskini wenye haja omar alikuwa anatoka usiku wa manane kwenye giza kujulia hali ya watu NA hapo utapokolewa NA malaika NA watakuleta kwa mungu eli usalimiane naye uso kwa uso
He is my favourite
Interview nzuri… Inaskitisha sana. Dhulma haidumu. Mungu mkubwa.
Kiongozi yoyote aliewai kufanya kazi na SMZ basi Zulma mana wote linakua Lao moja
Gumzo mashallah ACT wamejipambanua sana
Asante kwa kujiunga nasi
Mimi wa kwanza leo
Safi sana kaka. Asante kwa kuwa nasi🙏
@@ZanzibarKamiliTV Ahsante kwa kutuhabarisha kwa muda sahihi na habari sahihi.
Kwan upemba na unguja si uvunjeke bora nyinyi wanyamwez mubak na unguja yenu
Ccm kuna viongoz wajinga sana
Ww hujitabui punda ww
Ndio wote wanaishi unguja pemba hakukaliki eti kw njaa nyeye mawaziri wote mumekukimbia kule ni mkoa mkoa na masheha ndio wao hawezi kuondoka ila wle viogozi wkubwa hukimbilia nguja kwkua kuna maendeleo ww jifunze kw waliotangulia akhera wakijinata km ww sisi tutakupiza ujue mungu km wapemba nivimbe sio kwenda maka km ss huku hatukoradhi nibure watakiwa yule jirani yk usimkere sasa ww umeukera uma uombe radhi kwnza lalini hukohuko pemba unakudharau umenunua shamba mkumbuu jee kule ww hutakujenga barabar kwsabu unataka kwekeza
Nikiasi muizarau pemba hamupati kura rada kw mtutu ndio lazima mukuchukie ila sio kwli huko pemba hakuna uwanja unaojengwa kwnza hamulitaki haswa kujengwa unja musitudanganye
Ww ndio muongo
Mbwa huyu acha kufitinisha na kutugawanisha
Anajiamin sasabb anajuwa n mali ya serikali uyo ndio maan
Hovyo kabisaa tena na hawo wanakaa wanapija makoci wajinga kwel